1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

Matukio ya Kisiasa | 04.07.2008

Mzozo wa serekali katika Uturuki

Waziri mkuu wa Uturuki, Tayyip Erdogan

Kengele za kuonya hatari ya kuweko mzozo wa siasa ndani huko Uturuki zinagonga vikali hivi sasa. »

 

Matukio ya Kisiasa | 04.07.2008

Umoja wa Ulaya na Urusi zaanza mazungumzo ya ushirikiano

Mkuu wa tume ya Ulaya Jose Manuel Barroso aonya mradi wa bomba la gesi kutoka Urusi hadi Ujerumani usihatarishe mazingira

Yatajikita katika masuala ya nishati na ulinzi »

 

Matukio ya Kisiasa | 03.07.2008

Rais wa Colombia aonya kuwa mateka wote watakombolewa

Alvaro Uribe kulia  na Ingrid Betancourt kushoto mjini Bogoto baada ya kukombolewa kutoka mikononi ya waasi wa FARC

Ingrid Betancourt aunganishwa tena na familia yake »

 

Matukio ya Kisiasa | 03.07.2008

Mwongozo wa Kijamii wa Komisheni ya Ulaya

Vladimir Spidla wa kutokea Jamhuri ya Cheki ambaye ni kamishna wa Umoja wa Ulaya kuhusu masuala ya usawa.

Komisheni ya Umoja wa Ulaya yashauri mapendekezo kuhusu sera za kijamii »

 

Matukio ya Kisiasa | 03.07.2008

ZIMBABWE

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ambaye Marekani inaanda azimio la vikwazo vikali dhidi yake

Marekani imeanda rasimu ya azimio litakalowasilishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kutaka kuwekewa vikwazo vya silaha, fedha na vya kusafiri Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe na wasaidizi wake 11.  »

 

Search

Archive

Title