Magazeti ya Ujerumani yameandika juu ya kukamatwa Katibu Mkuu wa chama cha upinzani nchini Kongo Jacquemain Shabani. Pia yameandika juu ya mvutano wa kisiasa nchini Senegal baada ya Rais Wade kuruhusiwa kugombea
Damu inaendelea kumwagika nchini Syria hasa baada ya Rais Assad kuimarishwa na kura za turufu za Urusi na China kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na ziara ya Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa wamekubaliana juu ya masuala yote muhimu kwenye mkutano wao mjini Paris na wahariri wa magazeti ya Ujerumani wanatoa maoni yao juu ya hayo.
Kura ya turufu ya Russia na China dhidi ya mswaada wa nchi za magharibi na za kiarabu dhidi ya Syria na athari za kukeketwa wasichana ndizo mada zilizohanikiza magazetini hii leo nchini Ujerumani.
Tembelea DW katika Twitter
Tembelea DW katika Facebook
Pata huduma zetu kupitia za SMS, RSS, Kijarida na huduma nyengine za mtandaoni kutoka DW.
Kijarida cha Deutsche Welle
Unaweza kujiunga moja kwa moja na huduma ya kupokea kijarida cha Deutsche Welle kupitia mtandao kwa kubonyeza hapa na upate taarifa za kila siku.