Matukio muhimu | 09.05.2008
Mgogoro wapamba moto Lebanon-mapigano yazuka mitaani

Saudi Arabia imeitisha kikao cha dhararu cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za kiarabu kujadili hali inayoikabili Lebanon. »Mehr zu: title"
Habari
Mji wa Beirut wakosa watu wakati wafuasi wa Hezboullah wakithibiti sehemu ya magharibi ya mji huo.
Beirut.
Rais wa Syria Bashar al-Assad ameueleza mzozo wa kisiasa nchini Lebanon kuwa ni suala la ndani ya nchi ...
»Mehr zu: title"More news
Matukio ya Kisiasa | 09.05.2008
WFP yasema sasa itaendeleza safari zake za misaada Mynmar Jumamosi

Ilikuwa imesitisha kusitisha kutokana na kuzuiliwa kwa msaada wake mjini Rangoon »Mehr zu: title"
Magazetini | 08.05.2008
Magazetini Ujerumani
Miongoni mwa mada zilizogonga vichwa vya habari katika magazeti ya Ujerumani ni uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu wanajeshi wa Kijerumani na ndege za AWACS na sherehe za kuadhimisha miaka 60 tangu kuundwa taifa la Israel. »Mehr zu: title"
Michezo | 09.05.2008
Michuano ya ligi kuu ya soka Ujerumani Bundesliga kufikia ukingoni Jumamosi na bingwa wa soka Uingereza kujulikana Jumapili.

Wakati ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga inalenga nafasi kushiriki kombe la UEFA na kukwepa kushuka daraja bingwa wa soka nchini Uingereza aidha itakuwa Manchester United au Chelsea. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 08.05.2008
Ghasia zazuka katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya
Nchini kenya ghasia zinaripotiwa kutokea katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyo kaskazini mwa nchi. »Mehr zu: title"






