Matukio ya Kisiasa | 16.05.2008
Mkutano wa Umoja wa Vyama vya Kiliberali duniani wafanyika mjini Belfast,Ireland

Huko mjini Belfast Ireland ya Kaskazini, kunafanyika mkutano wa Umoja wa Vyama Vya Kiliberali duniani, ambapo wajumbe kutoka takriban vyama 100 kutoka sehemu mbalimbali duniani wanahudhuria. »Mehr zu: title"
Audios and videos on the topic
Matukio ya Kisiasa | 16.05.2008
Mashirika yasiokuwa ya kiserikali yapinga teknologia mpya ya GMO

Mwanaharakati wa India Vandana Shiva amesema utafiti kuhusu teknologia ya GMO inayomaanisha kuboresha mimea na mbegu kwasababu ya mazao makubwa inaingizwa kwa lazima duniani »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 16.05.2008
Kituo cha Sheria Zanzibar cha laani kukamatwa kwa watu wa Pemba waliowasilisha waraka kwa Umoja wa Mataifa
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC)Visiwani Zanzibar kimelaani hatua ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuwakamata watu waliowasilisha waraka kwa Umoja wa Mataifa wakitaka kisiwa cha Pemba kijitenge na kuwa huru. »Mehr zu: title"
Audios and videos on the topic
Matukio ya Kisiasa | 16.05.2008
Ziara ya Kiongozi wa kidini wa Tibet Dalai Lama Ujerumani

Mivutano baina ya wanasiasa wa vyama vinavyounda katika serikali kuu mjini Berlin kuhusu ziara hiyo »Mehr zu: title"
Matukio ya Kisiasa | 16.05.2008
Bush katika Bunge la Israel-Knesset

Miaka 60 tangu kuundwa dola ya Israel, mambo mengi yamegeuka kuwa kweli, mambo ambayo mwanzoni yalionekana kuwa yasingweza kufanyika. »Mehr zu: title"






