Masuala ya Jamii | 16.05.2008
Moto wa bomba la mafuta wachoma watu 100 mjini Lagos

Wengi wawaliokufa walikuwa watoto wa shule iliokuwa karibu »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 15.05.2008
Mabadiliko ya hali ya hewa, yachangia ukosefu wa maji safi na salama.

Mkutano wa siku mbili kuhusu masuala ya Maji katika nchi wanachama wa Jumuiya ya maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika -SADC, umefunguliwa jana mjini Maseru, Lesotho. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 10.05.2008
Rais Köhler asema ilikuwa ni aibu kwa Wajerumani kusheherekea kuunguzwa kwa vitabu

Rais Horst Köhler wa Ujerumani amesema kitendo cha Wajerumani kushangilia kuchomwa moto kwa vitabu wakati wa enzi ya Manazi ni cha aibu. »Mehr zu: title"
Masuala ya Jamii | 08.05.2008
Ghasia zazuka katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya
Nchini kenya ghasia zinaripotiwa kutokea katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma iliyo kaskazini mwa nchi. »Mehr zu: title"
Audios and videos on the topic
Masuala ya Jamii | 07.05.2008
Umhimu wa kujadili mzozo wa chakula katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Hoja zachemka kutaka suala la mzozo wa chakula duniani lijadiliwe na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. »Mehr zu: title"






