1. main content
  2. main navigation
  3. extra content
  4. head navigation
  5. search
  6. Choose form 30 Languages


 

Matukio ya Kisiasa | 16.05.2008

Mkutano wa Umoja wa Vyama vya Kiliberali duniani wafanyika mjini Belfast,Ireland

Huko mjini Belfast Ireland ya Kaskazini, kunafanyika mkutano wa Umoja wa Vyama Vya Kiliberali duniani, ambapo wajumbe kutoka takriban vyama 100 kutoka sehemu mbalimbali duniani wanahudhuria.

Miongoni mwao ni Rais Abdulaye Wade wa Senegal, Morgan Tsvangirai kutoka chama cha upinzani cha MDC nchini Zimbabwe na Profesa Ibrahim Lipumba mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, ambaye alizungumza na Aboubakary Liongo, kwanza akielezea madhumuni ya mkutano huo.

 
 
Share this article

Send us an e-mailSendPrint

More on the topic



 
Picture of the Day
ImageOfTheDay

DW-TV EUROPE live

Journal (deutsch) - Mit Reporter