Picture
Moto wa bomba la mafuta wachoma watu 100 mjini Lagos
Mama huyu analia baada ya bomba la mafuta kulipuka na kushika moto na kuwauwa watu 260 mjini Disemba 26 mwaka 2006.Karibu miaka mitatu baadae tukio lingine kama hilo limetokea mjini Lagos katika mtaa wa Ijegun alhamisi 16.05.08 ambapo watu 100 wameuawa, wengi wao wakiwa watoto wa shule.